Albamu ya Video

WAZIRI ZUNGU KATIKA ZIARA YA UTATUZI MGOGORO WA MAZINGIRA BAINA YA HOTELI ZA WHITESANDS NA KUNDUCH

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Azzan Zungu, Viongozi wa Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira (NEMC) na wataalamu mbalimbali, wametembelea ukanda wa bahari ya Hindi wenye mgogoro wa uharibifu wa mazingira, uliosababisha athari kwa wawekezaji wa hoteli jinini D...

Imewekwa: Apr 10, 2020

Ukaguzi kiwanda cha Axel Chemical-Bagamoyo

Waziri Zungu, NEMC wamekagua kiwanda cha Exel kinacholalamikiwa na wananchi kwa kelele na vumbi iliyokithiri, Aidha kinaendeshwa bila vibali vya mazingira na leseni halali.

Imewekwa: Apr 08, 2020

Waziri Zungu, NEMC wazungumza na wadau wa mazingira kutoka Sekta Binafsi

Wizara kupitia NEMC tutaendelea na utaratibu wa kukutana na wawekezaji na wafanyabiashara ili kuangazia changamoto zilizopo na kuzipatia ufumbuzi hali ambayo itachangia katika kuleta uwazi na uwajibikaji kwa idara zetu-Mhe. Zungu

Imewekwa: Mar 21, 2020

Ziara ya Naibu Waziri Mussa Sima kwenye machimbo ya dhahabu Singida

Ziara ya Naibu Waziri Mussa Sima kwenye machimbo ya dhahabu Singida

Imewekwa: Feb 21, 2020

Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dr. Eng. Samuel Mafwenga akiongelea utiriridhaji wa maji taka

Kutiririsha maji taka katika mazingira ni kosa kisheria kama ilivyoanishwa kwenye Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004.

Imewekwa: Feb 21, 2020

ZIARA YA WAZIRI SIMA KUKAGUA BOMBA LA GESI LILILOVUJA SOMANGA

Mhe. Waziri Musa Sima na Ujumbe wa NEMC akitoa maelekezo baada ya kukagua bomba la Gesi liliopasuka na kuvuja eneo la Somanga, wilayani Kilwa mkoani Lindi hivi karibuni.

Imewekwa: Feb 21, 2020