Dira na Dhima
Dira
“Kuwa mamlaka ya kimataifa ya usimamizi wa mazingira ambayo inahakikisha mazingira safi, salama na yenye afya kwa watu wa Tanzania”.
Dhima
“Kukuza Usimamizi wa Mazingira nchini Tanzania kwa kupitia Uratibu, Uwezeshaji, Uhamasishaji, Utekelezaji, Tathmini, Ufuatiliaji na Tafiti”.
Maadili ya Msingi
Uwazi na Uwajibikaji;
Utaalamu na Ubora;
Ushirikiano;
Utawala Bora;
Usawa;
Uadilifu;
Ushiriki wa Wateje na Wadau;