Kanda ya Mashariki -Kusini

Anuani ya Ofisi

Kanda ya Mashariki Kusini inapatikana katika Ofisi ya NEMC Makao Makuu. Katika kitalu namba. 29/30, Reagent Estate, Mikocheni Mkoani Dar-es-salaam. Kanda hiyo ina anuani zifuatazo:

NEMC-Kanda ya Mashariki - Kusini

S.L.P 63154

Dar-es-Salaam-Tanzania

Barua pepe: dg@nemc.or.tz

Simu: 255222774889


MAENEO YA KANDA YA MASHARIKI KUSINI

Kanda hii inashughulikia mikoa ya Dar es Salaama na Pwani:

  1. Dar-es-salaam -Ilala, Ubungo and Kigamboni
  2. Pwani - Kisarawe, Mkuranga, Mafia and Kibiti