Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (katikati) akiwa na watumishi wa Baraza mara baada ya uzinduzi wa Mkakati wa Nishati safi ya kupikia Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Mkakati wa Nishati safi ya kupikia, hafla hiyo imefanyika katika Ukumbi wa JNICC Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Seleman Jafo akitoa neno la Shukrani wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa Baraza iliyofanyika katika Hotel ya Serena Jijini Dar es salaam
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Seleman Jafo (kulia) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (kushoto) katika hafla fupi ya kuwaaga wastaafu wa Baraza iliyofanyika katika Hotel ya Serena Jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo azuru banda la NEMC Maonesho ya miaka 60 ya Muungano katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Bi. Christina Mndeme akitoa maelezo kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah kuhusu elimu ya mazingira inayotolewa katika banda la NEMC kwenye maonesho ya miaka 60 ya Muungano.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais(Muungano na Mazingira) Mhandisi Cyprian Luhemeja akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu (NEMC) Dkt. Immaculate Sware Semesi alipozuru Ofisi hizo mara baada ya hafla fupi ya uapisho iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi akizungumza na Wanawake wa NEMC kwenye sherehe za siku ya Wanawake Duniani katika viwanja vya Ofisi ya NEMC Dar es Salaam
NEMC kushirikiana na PEW na Wetlands International kuhifadhi fukwe za bahari
NEMC yaandaa Iftar kwa ajili ya wadau wa mazingira Serena hoteli
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (kushoto) akimkaribisha Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Cyprian J. Luhemeja katika Ofisi za NEMC Jijini Dar es Salaam mara baada ya hafla ya uwapisho Ikulu.
Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)akipanda mti siku ya maadhimisho ya Mazingira Afrika na Wangari Maathai yaliyofanyika katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi
Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi akihutubia kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) katika siku ya maadhimisho ya mazingira Afrika na Wangari Maathai yaliyofanyika katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi kwa kupanda miti.
Wanawake wa NEMC wakiwa katika picha ya pamoja siku ya maadhimisho ya wanawake duniani yaliyofanyika kimkoa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigamboni.
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi akikata utepe kama ishara ya kuzinduliwa kwa Baraza jipya la wafanyakazi hafla iliyofanyika katika Ofisi za NEMC D ar es salaam
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt Immaculate Sware Semesi akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa kazi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na wajumbe wa Baraza la wafanyakazi mara baada ya uzinduzi
NEMC na CSE India wakiwa katika picha ya pamoa katika mkutano na wadau wa Mazingira wa ziwa Victoria kutoka Tanzania, Uganda, Kenya, Burundi na Mashirika ya Kikanda na kujadili utekelezaji wa mkakati wa usimamizi wa mazingira wa ziwa hilo
Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt Menan Jangu (kushoto) akabidhi rasmi ofisi kwa Mkurugenzi Mkuu mteule wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi hafla iliyofanyika katika ofisi za makao makuu jijini Dodoma tarehe 09 Januari, 2024
Watumishi wa NEMC wakiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Garvin Kweka, mtaalamu wa tiba ya afya ya akili kutoka Muhimbili mara baada ya mafunzo yahusuyo uwiano baina ya kazi na afya ya akili yaliyofanyika katika ukumbi wa NEMC Jijini Dar es salaam