Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu (wanne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Muhandisi Dkt. Samuel Gwamaka (kushoto,) akimkabidhi Sheria ya Mazingira 2004 na Kanuni zake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu
Hongera sana Mhe. Mwita Waitara Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira tunakupongeza sana na kukukaribisha katika kuyalinda, kuyatunza na kuhifadhi mazingira yetu
Hongera sana Mhe. Ummy Mwalimu Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira tunakupongeza sana na kukukaribisha katika kuyalinda, kuyatunza na kuhifadhi mazingira yetu
Wanafunzi wa shule ya Rightway iliyopo Dar es Salaam wakiwa wamebeba mabango yenye jumbe za utunzaji wa Mazingira wakati wa uzinduzi wa program ya upandaji miti shuleni hapo.
Bila kibali kutoka kwa waziri Mwenye dhamana wa Mazingira huruhusiwi kukusanya, kusafirisha na kuhifadhi vyuma chakavu