Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Samuel Gwamaka, akizungumza na wadau wa mazingira katika Mkutano wa Chama cha Wataalam Elekezi wa Mazingira Tanzania, uliofanyika katika ukumbi wa Millenium Tower Kijitonyama Jijini Dar es Salaam.
Watumishi wa NEMC wakiwa katika banda la maonesho ya siku ya Mazingira Duniani Juni 5, 2021 yaliyofanyika jijini Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Selemani Jafo akisaini kitabu baada ya kutembelea banda la NEMC siku ya mazingira Duniani Juni 5, 2021
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Philip Mpango, akihutubia kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika Jijini Dodoma Juni 5, 2021
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Selemani Jafo (katikati), pamoja na Naibu wake Mhe. Hamad Chande (wa pili kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).