Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira
NEMC yaandaa mkutano wa kamati ya taifa ya binadamu na hifadhi hai mjini Morogoro.
Wanafunzi wa shule ya Sekondari na Msingi Karibuni iliyopo Temeke Jijini Dar es Salaam wakiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Dkt.Selemani Jafo katika picha ya pamoja huku wakishikiria mabango yanayosisitiza upandaji miti.
Wanawake wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakiwa katika picha ya Pamoja kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la wafanyakazi la NEMC wakiwa kwenye kikao cha Baraza la wafanyakazi kilichofanyika katika ofisi za NEMC Mikocheni Jijini Dar es Salaam.