Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi akimkabidhi tuzo Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE Bi. Latifa Khamis kwa kusimamia utunzaji wa Mazingira msimu wote wa maonesho katika hafla ya kufunga maonesho ya sabasaba 2025
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja akimkabidhi zawadi na cheti cha heshima mshindi wa kwanza wa Mazingira Challenge Bw. Paulo Dotto Masele katika hafla ya siku Maalumu ya Mazingira iliyotengwa katika msimu wa Maonesho ya sabasaba 2025
Afisa Mazingira wa NEMC Bw. Helmes Cosmas akitoa elimu kwa wageni waliotembelea banda la NEMC katika maonesho ya sabasaba 2025
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa umma na Utawala Bora Mhe.Deus Clement Sangu akiwaeleza jambo watumishi wa NEMC alipotembelea banda la NEMC katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma jijini Dododma
Timu ya NEMC katika picha ya pamoja katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma 2025 katika Viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma
Timu ya NEMC katika picha ya pamoja katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma 2025 katika Viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma
Maafisa wa NEMC wakitoa elimu ya Mazingira katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma 2025 katika viwanja vya Chinangali Park Jijini Dododoma
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akihoji jambo alipotembelea banda la NEMC kwenye Kilele Cha Siku ya Mazingira Duniani Juni 5,2025
NEMC ilivyoadhimisha Siku ya Kobe Duniani, tarehe 23 Mei, katika bustani ya wanyamapori ya Tabora Zoo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Yusuf Masauni akimkabidhi nyaraka Mwenyekiti mteule wa Bodi ya NEMC mara baada ya uzinduzi wa Bodi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Yusuf Masauni (Katikati waliokaa) katika picha ya Pamoja na wajumbe teule wa Bodi ya NEMC, Menejimenji ya Ofisi ya Makamu wa Rais na timu ya NEMC mara baada ya uzinduzi wa Bodi.
SIKU YA KIMATAIFA YA KUONDOA TAKA 2025 ILIVYOADHIMISHWA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA - DAR ES SALAAM
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi akisaini Mkataba wa makubaliano ya awali ya ukusanyaji taka za plastiki nchini kati ya NEMC na Kampuni ya GAIA CLIMATE ya Uturuki.
Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi akiongea na Waandishi wa Habari kuelezea utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi kwa kipindi cha Miaka minne.
Watumishi wa Baraza wakikabidhi majiko ya Nishati Safi ya kupikia (Gas stoves) kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Arusha tarehe 7/8/3025 siku moja kabla ya Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani. Kushoto ni Mkurugenzi wa Tathmini ya Athari kwa Mazingira-TAM (NEMC) Bi. Lilian Lukambuzi na kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt Immaculate Sware Semesi akiongea na vyombo vya habari mara baada ya uzinduzi wa jukwaa la usimamizi wa rasilimali za bahari lililofanyika katika hotel ya Johari Rotana Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC ,Dkt.Immaculate Sware Semesi akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa Jukwaa la usimamizi wa Rasilimali za bahari, uliofanyika katika Hotel ya Johari Rotana Jijini Dar es salaam.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uchumi wa buluu na Uvuvi Zanzibar Mhe.Zahor Kassim Mohamed (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (kushoto kwake) na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Bi.Christina Mndeme (kulia kwake) pamoja na wajumbe wengine mara baada ya uzinduzi wa Jukwaa la Usimamizi wa Rasilimali za Bahari katika Hotel ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Cyprian Luhemeja (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Mkutano wa nchi wanachama zinazotekeleza Mradi wa kudhibiti matumizi ya kemikali ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu
Mradi wa kudhibiti matumizi ya zebaki kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu (AEHPMP), Mkutano wa nchi wanachama uliofanyika Tanzania katika Hotel ya Hyatt Regency October 4-12, 2024
Mradi wa Kudhibiti Matumizi ya Zebaki kwa Wachimbaji Wadogo wa Dhahabu (EHPMP): Mkutano wa Nchi wanachama uliofanyika Tanzania katika Hoteli ya Hyatt Regency Oktoba 4-12,2024
Mkurugenzi wa Utawala na Fedha (NEMC) Bw. Dickson Mjinja (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Baraza pamoja na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mara baada ya kufungua mafunzo ya siku moja yahusuyo elimu ya Mazingira katika ukumbi wa Mikutano wa Baraza Jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Cyprian Luhemeja (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Baraza na baadhi ya wajumbe wa Menejimeti kutoka Ofisi yake mara baada ya kuzuru Ofisi za NEMC Dar es Salaam kwa ajili ya kikao cha pamoja
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Ashatu Kijaji (MB) atembelea banda la NEMC Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane 2024 katika viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Profesa Riziki Shemdoe atembelea banda la NEMC Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane 2024 katika viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma.