Mkurugenzi Mkuu

Karibu Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). Baraza lilianzishwa kwa Sheria ya Taifa ya Usimamizi wa Mazingira Na. 19 ya mwaka 1983 kama chombo cha kuishauri serikali juu ya masuala ya utunzaji endelevu wa mazingira. Baraza lilianza kazi rasmi mwaka 1986 na baadaye kupewa nguvu ya kisheria ya kusimamia hifadhi ya mazingira nchini kwa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira Na. 20 ya mwaka 2004.

Majukumu ya Baraza ni kutekeleza shughuli za uzingatiaji na utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira; kusimamia mchakato wa Tathmini ya Athari kwa Mazingira (TAM) pamoja na ukaguzi wa mazingira; kufanya tafiti za mazingira; kujenga uelewa wa mazingira kwa umma na kusimamia na kuratibu masuala yote yanayohusu mazingira kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira na Sheria nyingine zozote zilizoandikwa.

 

Dkt. Immaculate Sware Semesi

Mkurugenzi Mkuu

Ofisi za Kanda

MKURUGENZI MKUU Makao Makuu

Baraza La Taifa La Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Jengo La Kambarage Ghorofa ya 6 Barabara ya PSSSF

P.O. Box: S.L.P 2724 DODOMA TANZANIA.

+255713608930

dg@nemc.or.tz

KANDA YA BAGAMOYO

Regent Estate Plot No. 29/30, Dar es Salaam, Tanzania.

P.O. Box: S.L.P 63154 Dar es Salaam, Tanzania.

+255753402334

nemcbagamoyo@nemc.or.tz

KANDA YA GEITA
KANDA YA ILALA

35 Regent Street, 11404 Dar es Salaam, TANZANIA.

P.O. Box: S.L.P 63154,11404 Dar es Salaam,

+255222774852

nemcilala@nemc.or.tz

KANDA YA KASKAZINI

Makongoro – Goliondoi Junction, Plot No. 055019 /1 & 055019/6, Ngorongoro Tourism Centre, The 6th Floor, Arusha

P.O. Box: P.O. BOX 1041, Arusha, Tanzania

+255738064966

nemcarusha@nemc.or.tz

KANDA YA KATI

Dodoma, Kambarage Tower, Sixth Floor

P.O. Box: 2724 Dodoma

+255262963859 / +255262963860

nemcdodoma@nemc.or.tz

KANDA YA KUSINI

Raha Leo Complex, , 3rd floor, Chikongola, Mtwara

P.O. Box: NEMC- Southern Zone, S.L.P 1259, Mtwara, Tanzania

+255232334683

nemcmtwara@nemc.or.tz

KANDA YA MANGHARIBI

NEMC - Kanda ya Magharibi, Ghorofa ya 1 NSSF Mafao House, Mtaa wa Mnarani,

P.O. Box: S. L. P 974, Kigoma/Ujiji, Tanzania,

+255738037307

nemckigoma@nemc.or.tz

KANDA YA MASHARIKI KASKAZINI

Regent Street

P.O. Box: P.O. Box 63154 Dar es Salaam, Tanzania

+255782370155

nemcezs@nemc.or.tz

KANDA YA MASHARIKI KUSINI

P.O. Box: Meneja wa Kanda, NEMC- Mashariki Kusini, S. L. P 63154, Dar es salaam, Tanzania,

+255754046117

KANDA YA MOROGORO RUFIJI

Jengo la NHC 2D Complex ghorofa ya pili Kandokando ya Barabara ya Zamani ya DSM

P.O. Box: S. L. P 1342 Morogoro, Tanzania.

+255676164088

nemcmorogoro@nemc.or.tz

KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI
KANDA YA TEMEKE

Regent Estate Plot No. 29/30, Dar es Salaam, Tanzania.

P.O. Box: P.O. Box 63154 Dar es Salaam, Tanzania

+255784506267 / +255713608930

nemctemeke@nemc.or.tz / dg@nemc.or.tz

KANDA YA ZIWA VICTORIA

Barabara ya Kenyatta, S.L.P 11045 Mwanza

P.O. Box: Barabara ya Kenyatta, S.L.P 11045 Mwanza

nemcmwanza@nemc.or.tz

Video